App hii inakuwezesha kupata Kitabu cha Tenzi Za Rohoni kwa njia ya Kielektroniki na kuweza kukihifadhi kwenye Simu yako. Ghirex Technology sio mmiliki wa kitabu hiki sisi tunakupa urahisi tu wa kuweza kukipata mtandaoni. Kitabu hiki kina milikiwa na Kanisa la Mennonite Tanzania kikiwa na hati miliki inayotambuliwa kisheria chini ya COSOTA.